Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:35

Sudani kusini kuanza kutekeleza mkataba wa amani


Sudani kusini kuanza kutekeleza mkataba wa amani
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:43 0:00

Rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa upinzani Dkt. Riek Machar, wamekubaliana kuanza kutekeleza awamu ya pili ya mkataba wa amani, uliosainiwa septemba mwaka uliopita, na kuunda serikali ya umoja wa kitaifa ifikapo Novemba mwaka huu.

XS
SM
MD
LG