Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 16:22

Waraka wa makatibu wastaafu waleta Malumbano CCM


Waraka wa makatibu wastaafu waleta Malumbano CCM
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:42 0:00

Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama tawala nchini humo CCM, wameingia katika malumbano Kufuatia waraka uliotolewa na makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho hatua inayoelezwa kusababisha msuguano wa ndani katika chama hicho na serikali.

XS
SM
MD
LG