Shamrashamra za fataki na maonyesho mbalimbali zikiwemo silaha za kijeshi na ndege za vita zitapita wakati wa kilele cha sherehe hizo kutoa heshima kwa mgeni rasmi.
Matayarisho ya sherehe za miaka 243 ya kuzaliwa kwa taifa la Marekani
Rais Donald Trump atatoa hotuba ya salamu zake kwa taifa la Marekani Alhamisi, Jioni
5
Mmoja wageni wanaotembelea Washington katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Marekani akijaribu kuvuka vizuizi.
6
Vyoo vilivyokuwa katika eneo la maadhimisho
7
Wageni wakiwa katika eneo wakati wa maandalizi ya siku ya Uhuru wa Marekani.
8
Mwanajeshi wa majini wakitengo cha ufundi wa elektroniki Samuel McIntire, mbele kulia na wengine wakifanya mazoezi kabla ya sherehe mbele ya gari la kivita.
Jaffar Mjasiri
Ni Mwandishi na Msimamizi wa Mitandao ya Kijamii, VOASwahili
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017