Watu kadhaa wangali wamekwama ndani ya majengo yaliyoshambuliwa Jumanne mchana katika mtaa wa Riverside Drive Nairobi. Maafisa wa usalama wamewasaidia wakazi kukimbia wakati wa mashambulizi ya bunduki
Watu15 wauwa katika shambulio la Riverside Nairobi
5
Watu wakisaidiwa na maafisa wa usalama kutoka majengo ya Riverside Drive Nairobi
6
Mwanamke anaejaribu kukimbia akitupa kwanza mkoba wake kabla ya kupita dirishani.
7
Watu wakimbia kujtoka hoteli ya Dusis mjini Nairobi baada ya shambulio la kigaidi,ambalo kundi la Al-Shabab linadai kuhusika.
8
Cars are seen on fire at the scene of explosions and gunshots in Nairobi, Kenya January 15, 2019.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017