Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:20

Jinsi Krismasi inavyo sherehekewa nchi mbalimbali duniani

Katika ujumbe wa sikukuu ya Krismasi kwa wakazi wa Vatican na Ulimwengu mzima, Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis awahamasisha watu wa mataifa yote na tamaduni mbalimbali kushikamana na kudumisha umoja.

Ni matumaini yake kuwa mshikamano huo utaleta amani kati ya Waisraeli na Wapalestina, pia huko Syria na Yemeni ambako hakuna amani kutokana na vita.

Makundi

XS
SM
MD
LG