Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 23:06

Viongozi wameanza kuwasili Papa New Guinwa kwa mkutano wa APEC


Viongozi wameanza kuwasili Papa New Guinwa kwa mkutano wa APEC
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:30 0:00

Viongozi wa Jumuia ya kiuchumi ya mataifa ya Asia na Pacific APEC wameanza kuwasili katika mji wa Port Moresby ,kisiwani Papua New Guinea kwa mkutano wa siku mbili ambao rais wa Marekani Donald Trump hatahudhuria kutokana hasa na mvutano wake wa kibiashara na China.

XS
SM
MD
LG