Kampeni za uchaguzi zapamba moto Marekani.
Raisi wa 44 wa Marekani Barack Obama anafanya kampenzi za kuhamasisha wanachama wa chama chake pamoja na watu wasio na msimamo wa vyama ili kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mdogo utakaofanyika Novemba 6. Kwa upande wa Republican kampeni zao zinaongozwa na rais Donald Trump.
Matukio
-
Februari 11, 2021
Mchambuzi Tanzania aeleza sifa za nchi njema
-
Februari 11, 2021
Zanzibar lazima iendelee kujenga ushirikiano - Mchambuzi
-
Februari 10, 2021
Siku 100 za Rais Mwinyi, upinzani wamtaka aweke wazi sera
-
Februari 10, 2021
Mkazi wa Unguja asema Rais Hussein Mwinyi anastahili pongezi
Facebook Forum