Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 16:56

Kampeni za uchaguzi zapamba moto Marekani.


Kampeni za uchaguzi zapamba moto Marekani.
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:09 0:00

Raisi wa 44 wa Marekani Barack Obama anafanya kampenzi za kuhamasisha wanachama wa chama chake pamoja na watu wasio na msimamo wa vyama ili kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mdogo utakaofanyika Novemba 6. Kwa upande wa Republican kampeni zao zinaongozwa na rais Donald Trump.

XS
SM
MD
LG