Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:29

Athari za kufungwa kwa NGOs Burundi


Athari za kufungwa kwa NGOs Burundi
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:52 0:00

Serikali ya Burundi imetekeleza agizo lake la kuyafunga mashirika yasiyo ya kiserikali kwa madai kuwa yameshindwa kufuata sheria za nchi hiyo jambo linalopelekea mmonyoko wa maadili.

Kennes Bwire amezungumza na mwandishi wetu wa Burundi Haidallah Hakizimana na kuanza kwa kumuuliza athari zinazojitokeza moja kwa moja, kufuataia hatua ya mashirika hayo kupigwa marufuku.
XS
SM
MD
LG