Viongozi wa Burundi hawakuhudhuria mazishi ya Buyoya katika makaburi ya kanisa katoliki mjini Bamako
Nchi kadhaa za Afrika mashariki hasa Kenya, Uganda, Sudan kusini, Somalia, Ethiopia na sehemu za jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, zilishuhudia wimbi kubwa la nzige ambalo lilisababisha uharibifu mkubwa kwa mime ana kutishia kutokea baa la njaa, mwanzoni mwa mwaka 2020.
Kwingineko, sehemu za ibada zilikuwa na waumini wachache huku zikine zikisalia bila watu, wengi wao wakifuatilia ibada mitandaoni.
Punde tu baada ya ripoti hizo kuibuka, mkurugenzi wa gazeti la mtandao la Iwacu Antoine Kaburahe, aliandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba “walihukumiwa miaka miwili na nusu jela kwa madai yasiokua na msingi."
Hali ya wasiwasi inaendelea kuongezaka Somalia kufuatia hatua ya mataifa ya nje kuanza kuondoa wanajeshi wake nchini humo baada ya miongo mitatu ya kulinda amani.
Buyoya aliiongoza Burundi mara mbili: kuanzia mwaka wa 1987 hadi 1993, alipokabidhi madaraka kwa rais wa kwanza kutoka Kabila la wahutu Melchior Ndadaye, ambaye alimshinda kwenye uchaguzi.
Mataifa wanachama katika shirika la umoja wa mataifa linalosimamia dawa, nusra yapigie kura hatua ya kuondoa vizuizi dhidi ya matumizi ya bangi ili kurahihisha utafiti kuhusu mmea huo kwa matumizi ya tiba.
Pandisha zaidi