Rais wa Eritrea aliyeko katika uongozi kwa miaka mingi aliwasili Ethiopia, Jumamosi, Juali 14, ikiwa ni ziara yake ya kwanza katika miaka 22 na kupokelewa kwa shangwe kubwa baada ya kupatika ufumbuzi wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo yaliyowahi kuwa mahasimu.
Rais wa Eritrea afanya ziara ya kihistoria Ethiopia
Rais wa Eritrea Isaias Afwerki, amepokelewa na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Addis Ababa, Ethiopia, Jumamosi, July 15, 2018.
Rais wa Eritrea aliyeko katika uongozi kwa miaka mingi aliwasili Ethiopia, Jumamosi, Juali 14, ikiwa ni ziara yake ya kwanza katika miaka 22 na kupokelewa kwa shangwe kubwa baada ya kupatika ufumbuzi wa kidiplomasia kati ya mataifa hayo yaliyowahi kuwa mahasimu.
9
Wapanda farasi wa Ethiopia wakihudhuria sherehe za kumkaribisha Rais wa EritreaIsaias Afwerki