Vigelegele na vifijo vilirindima katika miji ya Nairobi na Mombasa baada ya Mahakama ya Juu kutoa uamuzi kwamba Rais Uhuru Kenyatta ni mshindi halali wa marudio ya uchaguzi 2017 nchini Kenya. wakati huo huo kumekuwepo na malalamiko madogo ya kupinga uamuzi huo huko magharibi ya Kenya.
Wafuasi wa Rais Kenyatta washerekea uamuzi wa Mahakama ya Juu
Mahakama ya Juu yaamua Rais Kenyatta ni mshindi halali
5
Wanafuasi wa Jubilee wakifurahia ushindi wa Kenyatta Mombasa
6
Wafuasi waJubilee wakishangilia ushindi wa Kenyatta Nairobi
7
Wapinzani wa Jubilee wafunga njia mjin Migori kulalamika uwamuzi wa mahakama kuu
8
Wapinzani wa uwamuzi wa mahakama ya juu waweka mawe njiani Migori, Kenya
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017