Katika mkutano huu Raila Odinga amewataka wafuasi wa chama hicho kutokushiriki katika marejeo ya uchaguzi wa urais yatakayofanyika Alhamisi, akisema chama hicho kitabadilika na kushiriki katika vuguvugu za harakati za kisiasa nchini.
Odinga awataka wafuasi wa Nasa kutopiga kura
Wafuasi wa Muungano wa upinzani (Nasa) wakiwa Uhuru Park, Nairobi, Kenya.
5
Viongozi wa ngazi ya juu wa Muungano wa Upinzani wa NASA akiwemo Mwenyekiti Raila Odinga
6
Raila Odinga akiwahutubia wafuasi wa chama chake cha Muungano wa Upinzani (NASA) katika mkutano huko Uhuru Park, Nairobi nchini Kenya.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017