Karibu watu elfu 15 walihudhuria kongamano na maonesho yaliyotayarishwa na Jumuia ya Waislamu Amerika ya Kaskazini, ICNA, iliyofanyika Baltomore, Maryland, na kuzungumzia masuala mbali mbali yanayowahusu waislamu wa Marekani na Canada. Kivutio kikubwa ni maonesho ya biashara ya waislamu katika nchi hizi mbili
Maonesho ya biashara ya waislamu wa Amerika Kaskazini wakati wa kongamano la ICNA

1
Asasi za kislamu kusaidia wakimbizi

2
Guidance benki ya kislamu inayotoa mikopo ya kununua nyumba

3
Vitabu vya watoto vikiuzwa wakati wa maonesho ya ICNA

4
Asasi za kislamu za huduma za dharura
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017