Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 11:42

Rais Trump ahutubia bunge kwa mara ya kwanza


Rais Trump ahutubia bunge kwa mara ya kwanza
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:57 0:00

Akilihutubia bunge kwa mara ya kwanza tangu kuchukua madaraka Rais Donald Trump ameahidi kutekeleza ahadi zake alizotoa wakati wa kampeni za uchaguzi mwezi Novemba mwaka 2016.

XS
SM
MD
LG