Wanajeshi wa Ivory Coast wakubali kurudi katika kambi zao baada ya serikali kuahidi itatekeleza madai yao ya nyongeza za mishahara na marupurupu. Wanajeshi walifanya uasi kuansia mji wa kati wa Bouake na kuenea kote nchini kwa siku mbili hadi pale serikali ilipokubali kusikiliza madai yao.
Wanajeshi wa Ivory Coast wadai nyongeza za mishahara
5
Rais Alassane Ouattara akishuka kwenye ndege akirudi kutoka sherehe za kuapishwa rais mpya wa Ghana.
6
Lori zimesimama kwenye njia kuu ya Djebonoua, karibu na Bouaké, wakati wanajeshi walasi kufunga njia muhimu za nchi huko Ivory Coast.
7
Wanajeshi waloasi wanapiga dori katika njia za mji wa Bouaké, Côte d’Ivoire.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017