Wanajeshi wa Ivory Coast wakubali kurudi katika kambi zao baada ya serikali kuahidi itatekeleza madai yao ya nyongeza za mishahara na marupurupu. Wanajeshi walifanya uasi kuansia mji wa kati wa Bouake na kuenea kote nchini kwa siku mbili hadi pale serikali ilipokubali kusikiliza madai yao.
Wanajeshi wa Ivory Coast wadai nyongeza za mishahara

1
Ujumbe wa wanajeshi waloasi wawasili kwa mazungumzo na waziri wa ulinzi, Alain-Richard Donwahi, mjini Bouake, Januari 7 2017.

2
Waziri wa ulinzi Alain Richard Donwahi akizungumza na waandishi wa habari alipowasili kwa mazungumzo na wanajeshi waloasi mjini Bouaké, Côte d’Ivoire.

3
Ujumbe wa wanajeshi waloasi wawasili kwa mazungumzo na waziri wa ulinzi, Alain-Richard Donwahi, mjini Bouake, Januari 7 2017.

4
Ujumbe wa wanajeshi waloasi kwenye mazungumzo na waziri wa ulinzi, Alain-Richard Donwahi, mjini Bouake, Januari 7 2017.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017
Facebook Forum