Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 18, 2025 Local time: 10:59

Wanajeshi wa Ivory Coast wadai nyongeza za mishahara

Wanajeshi wa Ivory Coast wakubali kurudi katika kambi zao baada ya serikali kuahidi itatekeleza madai yao ya nyongeza za mishahara na marupurupu. Wanajeshi walifanya uasi kuansia mji wa kati wa Bouake na kuenea kote nchini kwa siku mbili hadi pale serikali ilipokubali kusikiliza madai yao.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG