Maandamano ya kumpinga rais mteule wa Marekani Donald Trump kutokana na matamshi yake ya kudhalilisha wahamiaji, waislamu wanawake wakati wa kampeni za uchaguzi yanafanyika siku moja baada ya kupata ushindi.
Waandamanaji wapinga ushindi wa Trump Marekani

1
Mamia ya wapinzani wa Donald Trump waandamana kupitia mtaa wa Sixth Avenue kuelekea jengo la Trump Tower in New York City, Nov. 9, 2016.

2
Maandamano ya kumpinga Donald Trump mjini Los Angeles.

3
Waandamanaji wakifurika mtaa wa Fifth Avenue wakipinga ushindi wa Donald Trump nje ya jengo lake laTrump Tower in New York City, Nov. 9, 2016.

4
Waandamanaji wanaompinga Donald Trump mjini Philadelphia, Pennsylvania, Nov. 9, 2016.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Facebook Forum