Kimbunga kikali cha Matthew kimevuma katika bahari ya Carribean na mashariki ya pwani ya Marekani mwanzoni mwa mwezi wa Oktoba 2016, na kusababisha vifo vya karibu watu elfu moja na uharibifu mkubwa wa mali.
Hasara baada ya kimbunge Matthew huko Haiti na Marekani

5
Magari yaliyozama karibu na ofisi za biashara huko Lumberton, N.C., Oct. 12, 2016.

6
Mfanyakazi wa shirika la umeme akifanya ukaguzi baada ya kimbunga Matthwe kupita mjini Lumberton, North Carolina, Oct. 11, 2016.

8
Wakazi wasimama wakisubiri ugavi wa chakula baada ya kimbunga Matthew huko Anse D'Hainault, Haiti, Oct. 11, 2016.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017
Facebook Forum