Rais Barack Obama, mgombea mwenza Tim Kaine na makamu rais Joe Bidenj wamewika kwenye siku ya tatu ya mkutano mkuu wa chama cha demokratik mjini Philadelphia.
Siku ya tatu ya Mkutano Mkuu wa chama cha Demokratik
5
Wajumbe wa Virginia wakishangilia baada ya mgombea mwenza Sen. Tim Kaine kuteuliwa rasmi kugombania kiti cha makamu rais.Philadelphia, July 27, 2016.
6
Delegates cheer as members of the Congressional Black Caucus take the stage on the third day of the Democratic National Convention in Philadelphia, July 27, 2016.
7
Mbunge wa zamani Gabby Giffords, D-Ariz., na mumewe rubani wa anga za juu Mark Kelly walizungumza wakati wa mkutano mkuu wa Philadelphia, July 27, 2016
8
Lenny Kravitz msani akiwatumbwiza wajumbe kwenye mkutano wa Philadelphia, July 27, 2016.