Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 04, 2024 Local time: 04:53

Miaka miwili tangu kutekwa wasichana wa Chibok

Hapo April 14, 2014, wanamgambo wa Boko Haram waliwateka nyara wasichana 276 kutoka kijiji cha Chibok Nigeria na kusababisha hasira za kimataifa.Jumuia ya kimataifa imeungana chini ya ujumbe #BringBackOurGirls. Miaka miwili baadae kungali na wasichana 219 ambao hawajapatikana bado.

Makundi

XS
SM
MD
LG