Hapo April 14, 2014, wanamgambo wa Boko Haram waliwateka nyara wasichana 276 kutoka kijiji cha Chibok Nigeria na kusababisha hasira za kimataifa.Jumuia ya kimataifa imeungana chini ya ujumbe #BringBackOurGirls. Miaka miwili baadae kungali na wasichana 219 ambao hawajapatikana bado.
Miaka miwili tangu kutekwa wasichana wa Chibok
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017