Tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC imemtangaza Dr Ali Mohamed Shein kua mshindi wa uchaguzi wa marudio wa rais ulofanyika jumapili na kususiwa na chama kikuu cha upinzani CUF.
Wafuasi wa chama tawala CCM Zanzibar washerehekea ushindi wa Shein

1
Cheti ya matokeo ya uchaguzi wa rais wa Zanzibar 2016

2
Wafuasi wa chama tawala CCM wakisherehekea ushindi wa Dr Ali Mohamed Shein huko Unguja. Machi 21, 2016

3
Wafuasi wa chama tawala CCM wakisherehekea ushindi wa Dr Ali Mohamed Shein huko Unguja. Machi 21, 2016

4
Wafuasi wa CCM Zanzibar wakiandamana kwa furaha kutokana na ushindi wa Dr Ali Mohamed Shein.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017