Muda mrefu wa kurejea katika hali ya kawaida kwenye jimbo la Chin huko Myanmar .
Jimbo la Chin huko Mynmar laharibiwa na mvua.

1
Kijiji kipya kimejengwa kwenye ukanda wa mji mkuu ili kuhifadhi watu waliokoseshwa makazi.

2
Nyumba zimeharibiwa kwa kile ambacho watu wa ndani wanasema janga kubwa kutokea katika eneo hilo.

3
Maelfu ya watu wamekoseshwa makazi kwenye jimbo la Chin baada ya mvua kubwa kunyesha mwezi julai.

4
Barabara iliyoharibiwa imesababisha ugumu kusafirisha chakula kutumia magari makubwa na mafuta katika eneo.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017