Serikali ya Somalia inalani vikali shambulizi la Al-Shabab dhidi ya hoteli mashuhuri Sahafi na kusababisha vifo vya watu 12. Moja wapo ya aliyeuwawa na mkuu wa zamani wa jeshi la Somalia Jenerali Abdikarim Yusuf aliyewafukuza wanamgambo wa Al-shabab kutoka Mogadishu
Al-Shabab washambulia Hoteli Sahafi mjini Mogadishu

1
Poliusi akipita mbele ya gari lililoharibika kutokana na shambulizi la hoteli Sahafi

2
Moja kati ya magari yaliyokua na bomu lililolipuliwa mbele ya hoteli Sahafi, Mogadishu

3
Jengo lililoharibika la Sahafi Hotel mjini Mogadishu

4
Barabara kuu mbele ya hoteli Sahafi Mogadishu, Somalia baada ya shambulizi la Al-Shabab
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017