Kiongozi wa kanisa la Katholiki, Papa Francis afanya ziara ya kihstoria nchini Cuba na kuongoza Misa kwenye Uwanja wa Mapinduzi mjini Havana, siku ya Jumapili
Papa Francis atembelea Cuba
9
Papa Francvis akiomba dua wakati wa Misa kwenye Uwanja wa Mapinduzi, Havana
10
Maelfu ya waumini wahudhuria Misa inayoongozwa na Papa Francis kwenye Uwanja wa Mapinduzi Havana, Cuba, Sept. 20, 2015.
11
Papa Francis awasalimia waumini wa Kikatholiki baada ya kumaliza Misa yake ya kwanza akiwa ziarani Cuba, Sept. 20, 2015.
12
Papa Francis asalimiana na baba wa mapinduzi ya Cuba Fidel Castro shakes mjini Havana, Cuba, Jumapili, Sept. 20, 2015.