Marekani yashinda kombe la dunia wanawake baada ya kuifunga Japan 5-2 July 5, 2015
Fainali za kombe la dunia: US vs Japan
Marekani yashinda kombe la dunia wanawake baada ya kuifunga Japan 5-2 July 5, 2015
5
Mashabiki wa Marekani wakiwa wamejipaka rangi za bendera ya taifa usoni kabla ya mechi.
6
Golikipa wa Japan Ayumi Kaihori akila nyasi huku mpira ukitinga langoni katika bao la nne la Marekani
7
Golikipa wa Marekani Hope Solo akikumbatiana na Carli Llyod baada ya kufunga bao lake la tatu dhidi ya Japan.
8
Golikipa wa Marekani Hope Solo akipanchi moja ya hatari hatari katika goli lake.