Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 14, 2025 Local time: 04:44

Rotich na Desisa washinda mbio za Boston Marathon 2015

Mwanadada wa Kenya Caroline Rotich aliibuka mshindi wa mbio ndefu za Boston Marathon upande wa wanawake, nae Lelisa Desisa wa Ethiopia alirudia ushindi wake wa mwaka jana kwa kushinda mbio za wanaume akitumia muda wa saa mbili, dakika 9 na sekunde 17

Makundi

XS
SM
MD
LG