Wakenya waliandama mjini Nairobi siku ya Jumanne hadi ofisi ya rais kudaia kufukuzwa kwa waziri wa mambo ya ndani na mkuu wa polisi kutokana na kuzorota kwa usalama nchini humo, hasa baada ya kuuliwa kwa watu 28 huko Mandera na wapiganaji wa Kisomali - al-Shabab.
Wakenya waandamana kudaia usalama uimarishwe

1
Polisi wa Kenya wafyetua mabomu ya kutoa machozi dhidi ya waandamanaji Nairobi

2
គោមដែលមានរាងផ្កាឈូកត្រូវបានបំភ្លឺជាមួយភ្លើងពណ៌អណ្តែតនៅលើទឹកក្នុងពេលប្រារព្ធបុណ្យវិសាខបូជា នៅបឹង Beira នៅក្នុងក្រុងកូឡុំបូ ប្រទេសស្រីលង្កា ដើម្បីប្រារព្ធថ្ងៃព្រះពុទ្ធប្រសូត ត្រាស់ដឹង និងព្រះបរិនិព្វាន។

3
Waandamanaji wakimbia wakiacha majeneza baada ya kufurushwa na Polisi Nairobi

4
Waandamanaji waweka misalaba mwekundu kuonesha idadi ya walofariki kutokana na ghasia Kenya