Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 08:11

Jeshi lachukua madaraka Burkina Faso

Jenerali Honore Traore, Mkuu wa majeshi ya Burkina Faso alichukua rasmi madaraka ya nchi siku ya Ijuma kufuatia kujiuzulu kwa Rais Compaore baada ya maandamano ya wananchi kupinga juhudi za kubadili katiba ili kuongeza muda wa utawala.

Makundi

XS
SM
MD
LG