Jenerali Honore Traore, Mkuu wa majeshi ya Burkina Faso alichukua rasmi madaraka ya nchi siku ya Ijuma kufuatia kujiuzulu kwa Rais Compaore baada ya maandamano ya wananchi kupinga juhudi za kubadili katiba ili kuongeza muda wa utawala.
Jeshi lachukua madaraka Burkina Faso

1
Luteni Kanali Yacouba Isaac Zida kiongozi mpya wa muda nchini Burkina Faso akizungumza na waandishi habari mjini Ouagadougou, Burkina Faso, Nov1, 2014.

2
A man takes a picture of the burned parliament building in Ouagadougou, capital of Burkina Faso, October 31, 2014. General Honore Traore, head of Burkina Faso's armed forces, took power on Friday after President Blaise Compaore resigned amid mass protests

3
People loot the house belonging to Francois, younger brother of Burkina Faso's ex-President Blaise Compaore, in Ouagadougou, capital of Burkina Faso, October 31, 2014. General Honore Traore, the head of Burkina Faso's armed forces, took power on Friday af

4
Jenerali, Honore Traore, mkuu wa majeshi ya Burkina Faso akitangaza kuchukua madaraka ya nchi Oct 31, 2014