Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:38

Waandamanaji walitia moto jengo la bunge Burkina Faso

Waandamanaji kwa siku nne mfululizo waliandamana mjini Ougadougu kupinga uwamuzi wa serikali kutaka kubadili katiba ili kumruhusu Rais Blaise Compaore kugombania tena kiti cha rais baada ya miaka 27 ya kuwa madarakani.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG