Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 16, 2025 Local time: 20:56

Maelfu ya watu wajitokeza kumwaga Profesa Ali Mazrui

Maelfu ya wakazi wa Mombasa na wageni walihudhuria maziko ya msomi mashuhuri wa kimataifa Ali Mazrui siku ya jumapili Oktoba 19, 2014. Mazrui alifariki nyumbani kwake New York akiwa na umri wa miaka 81.

Makundi

XS
SM
MD
LG