Wapiga kura wa Msumbiji walipiga kura Jumatano katika uchaguzi wa kwanza wenye ushindani mkubwa tangu kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo 1992, na kufanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1994. Kuna wagombea watatu wanaopigania kiti cha rais.
Wamsumbiji wapiga kura katika uchaguzi mkuu wenye ushindani mkubwa
9
Afonso Dhlakama, kiongozi wa zamani wa waasi wa chama cha Renamo ambae sasa ndiye kiongozi wa upinzani, akionesha kidole chake baada ya kupiga kura katika uchaguzi wa tato kujaribu kuchaguliwa rais huko Msumbiji.
10
Mwanamke akimbeba mtoto wake mgongoni anapiga kura katika kituo cha kupiga kura mjini Moputo, Msumbiji, Oct. 15, 2014.
11
Wapiga kura wakisimama kwa utulivu katika kituo cha kupiga kura mjini Maputo siku ya uchaguzi mkuu Oct. 15, 2014.
12
Wafuasi wa mgombea kiti cha rais wa chama tawala cha FRELIMO Filipe Nyusi wakimshangiria wakati wa siku ya mwisho ya kampeni za uchaguzi siku ya Jumapili nje ya mji mkuu wa Maputo. Oct.12, 2014 on the outskirts of Maputo, Mozambique.