Wapiga kura wa Msumbiji walipiga kura Jumatano katika uchaguzi wa kwanza wenye ushindani mkubwa tangu kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo 1992, na kufanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1994. Kuna wagombea watatu wanaopigania kiti cha rais.
Wamsumbiji wapiga kura katika uchaguzi mkuu wenye ushindani mkubwa
5
Mpiga kura anajitayarisha kwenda kupiga kura yake katika kituo kimoja mjini Maputo mji mkuu wa Msumbiji, Oct. 15, 2014.
6
Rais wa Msumbiji anaeondoka madarakani Armando Guebuza (Kushoto)anapiga kura yake katika uchaguzi mkuu wa Oct. 15, 2014 mjini Maputo.
7
Daviz Simango, mgombea kiti cha rais wa chama kipya cha MDM, aanapiga kura yake katika mji wa kati wa Beira, Msumbiji 15 Out, 2014
8
Kidole cha mpiga kura kikipakwa wino usofutika kwa urahisi baada ya kupiga kura kuhakikisha hatopiga tena kura katika uchaguzi mkuu wa Oct. 15, 2014.