Picha za maandamano huko Ferguson, Missouri. – Thursday, Aug. 21

1
Waandamanaji wakiandamana mitaani huku taa zikiwaka kwa mbali huko Ferguson, Mo.Agosti 20, 2014.

2
Waandamanaji wakipiga kelele mikono juu,usipige risasi huko Ferguson.Missouri,Agosti, 20,2014.

3
Maafisa wa polisi wakifanya doria mitaani wakati waandamanaji wakishiriki katika maandamano dhidi ya mauaji ya Micheal Brown.Manhattan,New York, Agosti 20,2014.

4
Mwanamke akiwa ameshika bango wakati wa maandamano dhidi ya kupigwa risasi ya Michael Brown.Oakland,Calif,Agosti,20,2014.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017