Picha za maandamano huko Ferguson, Missouri. – Thursday, Aug. 21
5
Mamia kadhaa ya waandamanaji wakiandamana kupita Oakland,California wakati wa maandamano dhidi ya kupigwa risasi Micheal Brown, Agosti 20,2014.
6
Mwanasheria mkuu wa serikali Eric Holder akimsalimu Capt. Ron Johnson afisa Polisi wa Missouri katika mgahawa wa Drake huko Florrissant, Missouri Agosti 20,2014.
7
Mwanasheria mkuu wa serikali Eric Holder akimsalimia Bradley J.Rayford miaka 22, kufuatia mkutano wake na wanafunzi katika chuo cha St Louis Florissant Valley huko Ferguson Missouri,Agosti 20,2014.