Mapigano Sudan Kusini yameenea zaidi ya mji mkuu Juba, ambako yalianza Jumapili katika kile serikali ilichosema ni jaribio la mapinduzi. Mataifa jirani ya IGAD yanafanya juhudi za usuluhishi wa amani.
Ghasia za kisiasa Sudan Kusini
9
Raia wakiwasili katika eneo la ofisi za UNMISS karibu na uwanja wa ndege wa Juba, Dec. 17, 2013. (UNMISS)
10
Mwanajeshi wa Umoja wa Mataifa akisimama doria huku raia wakiwasili katika eneo la ofisi za UNMISS, Dec. 17, 2013. (UNMISS)
11
Raia zaidi wakiwasili UNMISS, Dec. 17, 2013. (UNMISS)
12
Tanki la jeshi likifanya doria katika moja ya barabara kuu mjini Juba, Dec. 16, 2013.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017