Zaidi ya viongozi 50 wamehudhuia mkutano wa London juu ya kuisaidia serikali ya Somalia kuimarisha mfumo wake wa usalama na mahakama.
Mkutano wa London juu ya Somalia.

1
Viongozi wanaohudhuria mkutano wa London juu ya kuisaidia serikali mpya ya Somalia

2
Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uingereza William Hague,akika kulia kwa waziri mkuu wa Uingereza David Cameroon, na Rais Hassan Sheikh Mahamud wakati wa mkutano wa wafadhili mjini London may 7, 2013 (Photo/Yusuuf H.. Aadan).

3
Wajumbe kwenye mkutano wa London juu ya Somalia, Mei 7, 2013

4
Wajumbe kwenye mkutano wa London juu ya Somalia, Mei 7, 2013