Wapiganaji wa kundi la M23 wanaelekea kusini katika jimbo la Kivu Kusini baada ya kuuteka mji wa Sake ulioko magharibi ya Goma, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini siku ya Ijuma.Wananchi wanakimbia mapigano wakibeba kila wanachoweza kubeba.
Wapiganaji wa M23 wateka miji zaidi mashariki ya DRC

1
Wakimbizi wakimbia vita wakibeba mali zao kutoka Sake kuelekea maeneo ya usalama

2
Chombo cha kufyetulia mizinga iliyoachwa nyuma na wanajeshi wa serikali, FARDC, katika mji wa Goma

3
Wakimbizi wanaokimbia vita waelekea maeneo ya usalama

4
Mpiganaji wa M23 juu ya silaha zilizopatikana Goma
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017