Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari
Dunia nzima inaadhimisha siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari kwa kutafakari na kuzungumzia manedeleo katika kuwapatia waandishi habari na vyombo vya habari uhuru ambao ni haki yao inayotambulika kimataifa
5
Watu wakishiriki kuadhimisha siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari duniani. May 3, 2012.
6
Waandishi habari wakibeba mabango Madrid Uhispania
7
Watu wakishiriki kuadhimisha siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari duniani Tiblisi, May 3, 2012.
8
Waandishi habari wakibeba mabango wakati wa maandamano Kuala Lumpur, Malaysia May 3, 2012.