Maandamano na vurugu Zanzibar
Maandamano yaliyofanywa na Jumuiya ya Uamsho yamezusha vurugu na uharibifu wa mali huko Zanzibar.
5
Gari la Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bishop Dickoson Maganga lililochomwa moto na watu wasiojulikana Jumamosi usiku Mai 26 2012
6
Wanawake wakiandamana nyuma ya wanaume kudai kura ya maoni iitishwe kuamua ikiwa Zanzibar ijiondowe kutoka Muungano. Maandamano yaliitishwa na jumuiya ya Uamsho
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017