Ajali ya meli Zanzibar
Mamia ya watu inahofiwa wamefariki dunia kufuatia kuzama kwa meli ya abiria - LCT Spice Islanders - katika bahari ya Hindi ikiwa safarini kutoka Unguja kwenda Pemba.
5
Mamia ya watu walojazana kuanzia uwanja wa Maisasa hadi hospitali kuu wakisubiri kutambua maiti zao kutokana na ajali ya meli ya LCT Spice Islanders
6
Makamu wa pili wa Zanzibar Seif Ali Iddi akifuatana na naibu kadhi mkuu wa Zanzibar Khamis Haji Khamsi wakitoka ndani ya hema maalum iliyojengwa kuwapokea maiti katika uwanja wa Maisara
7
Madaktari,wauguzi na watu wakipokea maiti ya kwanza ilofikishwa katika kiwanja cha Maisara kutoka ajali ya meli ya Spice Islander
8
Mmoja kati ya abiria waliookolewa afikishwa ufukweni Nungwi