Ajali ya meli Zanzibar
Mamia ya watu inahofiwa wamefariki dunia kufuatia kuzama kwa meli ya abiria - LCT Spice Islanders - katika bahari ya Hindi ikiwa safarini kutoka Unguja kwenda Pemba.
9
Rais Dk. Ali M. Shein akiongoza zoezi la uokoaji Nungwe baada ya ajali ya meli mapema asubuhi.
10
Rais Dk. Ali M Shein akiwafariji walonusurika
11
Kikao cha viongozi wa serikali ya Zanzibar wakiwa Pemba kwa lengo la kuweka mikakati ya kukabiliana na juhudi za kuwapokea wahanga wa ajali ya meli ya MV Spice Islanders