Ajali ya meli Zanzibar
Mamia ya watu inahofiwa wamefariki dunia kufuatia kuzama kwa meli ya abiria - LCT Spice Islanders - katika bahari ya Hindi ikiwa safarini kutoka Unguja kwenda Pemba.
1
Meli ya LCT Spice Islanders ikiwa gatini kabla ya safari
2
Wanajeshi wakiwasaidia walonusurika kutokana na ajali ya meli ya LCT Spice Islanders, Zanzibar
3
Rais wa Zanzibar, Dk Ali M. Shein na Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif wakiwa wenye huzuni wakati walifika eneo la ajali ya meli ya Spice Islander.
4
Polisi na waokozi wakibeba majeruhi wa meli ya Mv Spice Island katika ufukwe wa bahari ya Nunwi Unguja