Ajali ya meli Zanzibar
Mamia ya watu inahofiwa wamefariki dunia kufuatia kuzama kwa meli ya abiria - LCT Spice Islanders - katika bahari ya Hindi ikiwa safarini kutoka Unguja kwenda Pemba.
![Meli ya LCT Spice Islanders ikiwa gatini kabla ya safari](https://gdb.voanews.com/778f4e3c-4bc3-48d7-a3cb-0f99be60b127_w1024_q10_s.jpg)
1
Meli ya LCT Spice Islanders ikiwa gatini kabla ya safari
![Wanajeshi wakiwasaidia walonusurika kutokana na ajali ya meli ya LCT Spice Islanders, Zanzibar](https://gdb.voanews.com/26adc853-e05d-4699-9dd7-370b0d1a95cc_w1024_q10_s.jpg)
2
Wanajeshi wakiwasaidia walonusurika kutokana na ajali ya meli ya LCT Spice Islanders, Zanzibar
![Rais wa Zanzibar, Dk Ali M. Shein na Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif wakiwa wenye huzuni wakati walifika eneo la ajali ya meli ya Spice Islander.](https://gdb.voanews.com/6718fa35-c4cf-4794-91d5-4a8e344fe82e_w1024_q10_s.jpg)
3
Rais wa Zanzibar, Dk Ali M. Shein na Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif wakiwa wenye huzuni wakati walifika eneo la ajali ya meli ya Spice Islander.
![Polisi na waokozi wakibeba majeruhi wa meli ya Mv Spice Island katika ufukwe wa bahari ya Nunwi Unguja](https://gdb.voanews.com/29938022-db42-4c3e-a1c1-c4fa65c02d42_w1024_q10_s.jpg)
4
Polisi na waokozi wakibeba majeruhi wa meli ya Mv Spice Island katika ufukwe wa bahari ya Nunwi Unguja