Uharamia katika Bahari ya Hindi
Matukio tofauti ya uharamia katika kanada ya bahari ya Hindi.
9
Kikosi maalm cha jeshi la majini la Ureno kutoka manwari ya 'Alvares Cabral' wnawakamata maharamia wa Kisomali walojaribu kuteka nyara meli ya uvuvi iliyokuwa inasafiri kwa bendera ya hispania ya 'Ortube Berria' .
10
Mshauri maalum wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya uharamia Jack Lang,kutoka Ufaransa, (kulia) akimsikiliza mtuhumiwa mmoja wa uharamia anaeshikiliwa katika jela la Shimo la Tewa Mombasa, Kenya, 11 Oct 2010