Maisha ya watu Sudan Kusini
Wakazi wa Sudan kusini wamekua wakijitayarisha kwa miaka sita ilikupiga kura kuamua juu ya mustakbal wao wa kuwa huru au kubaki kua Sudan moja.

1
Mkazi wa Sudan kusini aliyerudi nyumbani akisubiri wafanyakazi wa Idara ya Chakula Duniani kuanza kugawa chakula.huko Bahr el Ghazal jimbo la south Sudan.

2
Wavulana wa Sudan kusini wakisubiri mbele ya nyumbani kwao karibu na Khartoum.

3
Rais Salva Kiir wa Sudan kuisni akipiga kura wakati wa kura ya maoni mjini JUba tarehe 9 Januari 2010.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017