Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 04, 2024 Local time: 15:50

Kura za hesabiwa Madagascar kufuatia uchaguzi wa rais ulosusiwa na upinzani

Kura zinahesabiwa nchini Madagascar baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa rais ulosusiwa na idadi kubwa ya wapinzani. Uchaguzi umefanyika baada ya wiki kadhaa za ghasia na maandamano, na katika mji mkuu wa Antananarivo wafuatiliaji wanasema uchaguzi umefanyika kwa amani.


Pandisha zaidi

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG