Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 04:02

Zoezi la kumtafuta Spika mpya wa Bunge la Marekani laendelea


Zoezi la kumtafuta Spika mpya wa Bunge la Marekani laendelea
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Bunge la Marekani limeshindwa kupata Spika mpya na kupelekea wapigaji kura kuendelea na zoezi hilo kwa siku ya pili huku maoni tofauti yakiibuka.

Viongozi wa dunia na watu mbalimbali wajitokeza kuuaga mwili wa hayati Papa Benedicto huko Vatican ambako anatarajiwa kuzikwa Alhamisi.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG