Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Septemba 26, 2023 Local time: 05:14

Zaidi ya watu 70 wafariki katika ajali ya moto Johannesburg


Zaidi ya watu 70 wafariki katika ajali ya moto Johannesburg
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Zaidi ya watu 70 wamefariki baada ya jengo la ghorofa tano kuungua moto mjini Johannesburg, Afrika Kusini.

Viongozi wa Afrika walikuwa wanafanya kazi leo kuwajibu viongozi wa kijeshi waliomtimua madarakani Rais Bongo wa Gabon.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG