Baada ya hapo awali wanasayansi walikuwa na hofu kubwa na kubashiri hali ingelirejea kuwa ya kawaida. Ungana na mwandishi wetu akikuletea hali ilivyokuwa nchini China na idadi ya kubwa ya maambukizi yalijitokeza huku mamlaka husika zikieleza hatua za kuongeza uwezo wa hospitali na huduma za dharura kukabiliana na janga hilo. Lakini hata hivyo mamlaka husika zilieleza kuwa hakuna takwimu rasmi za maambukizi hayo. Endelea kusikiliza ...
WHO yaeleza wasiwasi wake juu ya mlipuko mpya wa COVID
Maambukizi yaongezeka nchini China huku Shirika la Afya Duniani, WHO, likieleza wasiwasi juu ya ongezeko hilo jipya la maambukizi. China Virusi vya Omicron vilijitokeza mwishoni mwa mwaka 2021 huku vikiwa na uwezo wa kuambukiza tena watu na vilikuja na rekodi za kesi za Covid ambazo zilifuatia.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto